iqna

IQNA

Ben Checkroun
Wanazuoni Mashuhuri wa Kiislamu Duniani /4
TEHRAN (IQNA) – Allamah Mohamed Ben Checkroun alikuwa mwanachuoni aliyeandika tafsiri na tarjuma ya kwanza ya uhakika ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kifaransa katika jildi kumi.
Habari ID: 3476035    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04